UNATAMANI KUFUNGA NGURUWE KIBIASHARA? JIUNGE NA FAMILIA YETU LEO

0

 

Kwa muda mrefu, Rubaba Media tumekuwa tukipokea jumbe kutoka kwa watu wa aina mbalimbali – wanafunzi, wafanyakazi, wafugaji wapya na hata wale wa muda mrefu. Wengi wao wanatamani kuingia kwenye ufugaji wa nguruwe kibiashara, lakini changamoto kubwa imekuwa ni ukosefu wa elimu, uelewa na maarifa sahihi ya kufanikisha biashara hii.

Matokeo yake, baadhi wameishia kutamani tu bila kuchukua hatua, na wengine waliothubutu bila ujuzi wamejikuta wakipata hasara kubwa na kuchukia ufugaji huu wenye faida kubwa.

👉 Kwa kutambua hilo, Rubaba Media tumekuwa mstari wa mbele kwa muda mrefu tukitoa elimu, ushauri na mwongozo wa vitendo ambao tayari umewasaidia maelfu ya wafugaji ndani na nje ya Tanzania. Tumekuwa tukishirikiana na wadau, wataalamu na watu binafsi kuhakikisha ufugaji wa nguruwe unakuwa biashara yenye tija.

Ndiyo maana tumeanzisha jumuiya yetu TANZANIA NA KILIMO 🌱 – kupitia group letu maalumu ambapo utakutana na:
✅ Wadau wa ufugaji wa nguruwe
✅ Wafugaji wapya na wale waliobobea
✅ Wataalamu wa mifugo
✅ Na watu muhimu wenye taarifa, elimu na masoko

Kwenye group hili tunajadili mambo muhimu, tunapeana elimu ya vitendo, ushauri, connection na taarifa zote unazohitaji ili ufanikiwe.

💡 Wito wetu kwako: Usipitwa! Ikiwa bado hujajiunga nasi, unakosa fursa kubwa ya maarifa, elimu na mtandao wa watu wenye tija.

👉 Jiunge nasi sasa kwa ada nafuu sana ya uanachama.
📲 Tuma ujumbe WhatsApp wenye neno NIUNGE kupitia link hii:
https://wa.me/255764148221

Karibu kwenye familia ya Rubaba Media & Tanzania na Kilimo – mahali elimu na fursa hukutana! 🌍✨

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

write your comment here

write your comment here

Post a Comment (0)

buttons=(Accept !) days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top