DONDOO YA WIKI

 

🌱 Dondoo ya Wiki


💡 HIVI ULISHAWAHI KUJIULIZA BEI YA MAZIWA GHAFI KWA SASA NCHINI TANZANIA NI KIASI GANI !?
Wengi wetu tunakunywa maziwa kila siku, lakini hatujui ni kwa namna gani bei ya yake inavyopanda na kushuka kulingana na mikoa na msimu. Leo nimeweka bei rasimi kutoka  Bodi ya Maziwa Tanzania ( TDB

Je unafikiri bei hizi zinamtendea haki Mfugaji

Au ni changamoto kubwa kwa watumiaji wa mwisho?

Toa Maoni yako - Unadhani nini kifanyike ili sekta ya maziwa iwe na tija zaidi kwa wakulima na watumiaji?

DONDOO HII YA WIKI IMEDHAMINIWA NA KAMPUNI YA KOUDIJS, WAZALISHAJI NA WASAMBAZIJI WA VIRUTUBISHO BORA VYA MIFUGO

Tanzania na Kilimo 🌾

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

write your comment here

write your comment here

Post a Comment (0)

buttons=(Accept !) days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top