JOBS & CAREER

 

FURSA YA KAZI: Msimamizi wa Jumuiya ya Tanzania na Kilimo

Tanzania na Kilimo kwa kushirikiana na Rubaba Media inatangaza nafasi ya kazi kwa mtu mwenye uwezo wa kusimamia Jumuiya ya Tanzania na Kilimo. Hii ni fursa nzuri kwa wale wanaopenda sekta ya kilimo na ufugaji na wana hamasa ya kusaidia wakulima na wafugaji kupata maarifa sahihi.

Sifa za Mwombaji:

✅ Awe na cheti au diploma katika kilimo na ufugaji
✅ Awe na uzoefu wa kutoa ushauri kwa wakulima na wafugaji
✅ Awe na smartphone kwa ajili ya mawasiliano na kazi za kidigitali
✅ Awe na uwezo mzuri wa kuandika na kuwasiliana na watu kwa ufanisi
✅ Awe mtu mwenye juhudi, ubunifu na anayejituma

Faida za Kazi Hii:

📌 Ni kazi ya muda (part-time), haina haja ya kufika eneo la kazi
📌 Inakupa nafasi ya kusaidia wakulima na wafugaji nchini Tanzania
📌 Wanawake wanapewa kipaumbele

Jinsi ya Kutuma Maombi:

Ikiwa unakidhi vigezo na una shauku ya kushiriki katika maendeleo ya kilimo Tanzania, tuma maombi yako sasa kupitia barua pepe:

📩 rubabamedia@gmail.com

Mwisho wa kutuma maombi: 31 Mwezi huu


JOB OPPORTUNITY: Community Manager for Tanzania na Kilimo

Tanzania na Kilimo, in collaboration with Rubaba Media, is looking for a Community Manager to oversee and support the Tanzania na Kilimo community. This is a great opportunity for individuals passionate about agriculture and livestock and eager to contribute to farmer empowerment.

Qualifications:

Certificate or Diploma in Agriculture & Livestock
Experience in agricultural and livestock consultancy
Smartphone for communication and digital tasks
Strong writing and interpersonal communication skills
Self-driven, proactive, and innovative personality

Why Apply?

📌 Part-time job, fully remote – work from anywhere!
📌 A chance to impact the agricultural sector in Tanzania
📌 Women are highly encouraged to apply

How to Apply:

If you meet the qualifications and are excited about this opportunity, send your application via email:

📩 rubabamedia@gmail.com

Application Deadline: 01/04/2025