1. FURSA YA KAZI: Msimamizi wa Jumuiya ya Tanzania na Kilimo
Tanzania na Kilimo kwa kushirikiana na Rubaba Media inatangaza nafasi ya kazi kwa mtu mwenye uwezo wa kusimamia Jumuiya ya Tanzania na Kilimo. Hii ni fursa nzuri kwa wale wanaopenda sekta ya kilimo na ufugaji na wana hamasa ya kusaidia wakulima na wafugaji kupata maarifa sahihi.Sifa za Mwombaji:
✅ Awe na cheti au diploma katika kilimo na ufugaji
✅ Awe na uzoefu wa kutoa ushauri kwa wakulima na wafugaji
✅ Awe na smartphone kwa ajili ya mawasiliano na kazi za kidigitali
✅ Awe na uwezo mzuri wa kuandika na kuwasiliana na watu kwa ufanisi
✅ Awe mtu mwenye juhudi, ubunifu na anayejituma
Faida za Kazi Hii:
📌 Ni kazi ya muda (part-time), haina haja ya kufika eneo la kazi
📌 Inakupa nafasi ya kusaidia wakulima na wafugaji nchini Tanzania
📌 Wanawake wanapewa kipaumbele
Jinsi ya Kutuma Maombi:
Ikiwa unakidhi vigezo na una shauku ya kushiriki katika maendeleo ya kilimo Tanzania, tuma maombi yako sasa kupitia barua pepe:
⏳ Mwisho wa kutuma maombi: 31 Mwezi huu
JOB OPPORTUNITY: Community Manager for Tanzania na Kilimo
Tanzania na Kilimo, in collaboration with Rubaba Media, is looking for a Community Manager to oversee and support the Tanzania na Kilimo community. This is a great opportunity for individuals passionate about agriculture and livestock and eager to contribute to farmer empowerment.
Qualifications:
✅ Certificate or Diploma in Agriculture & Livestock
✅ Experience in agricultural and livestock consultancy
✅ Smartphone for communication and digital tasks
✅ Strong writing and interpersonal communication skills
✅ Self-driven, proactive, and innovative personality
Why Apply?
📌 Part-time job, fully remote – work from anywhere!
📌 A chance to impact the agricultural sector in Tanzania
📌 Women are highly encouraged to apply
How to Apply:
If you meet the qualifications and are excited about this opportunity, send your application via email:
⏳ Application Deadline: 01/04/2025
2. NAFASI YA KAZI , MWANZA - SALES REPRESENTATIVES (NAFASI 5)
