KILIMO BORA CHA KAHAWA





UTANGULIZI
Family: Rubiaceous
Scientific Name: Coffea arabica
Asili:kwa mujibu wa wataalam hasiri ya kahawa ni katikati ya Ethiopia.
kusambaa: kutoka Ethiopia kahawa ilisambaa hadi india, uturuki, italia, vinna, british na Africa mashariki
1.      Tanzania –ulimwa Mt. Kilimanjaro na kusini kwa Mt. Meru, Oldeani in Ngorongoro Highlands, Uluguru Mts, North Mara, Kigoma, Kasulu, Kibondo, Rungwe, Mbeya, Mbazi and around Usambara Mountains.
2.      Kenya – Ol Donyo Sabuk, Machakos, Nakuru na Rift Valley.
3.      Uganda – wilya za Bugisu na Mt. Elgon, Kigezi, Ankole, Toro na Nile


MVUA NA MAITAJI YA MAJI
Kahawa kwa sasa hulimwasana katika maeneo ya kitropikia,
JOTO;Huitaji joto la 17 hadi 23 degree centrigrade
Pia kahawa huitaji kiasi cha mvua 1500 – 1200 mmkwa zaidi ya miezi 8
Kahawa ni moja ya zao ambayo huasirika na jua kali hivyo ni muhimu sana kupanda miti ya kivuli shambani
PH  kahawa husitawi vizuri kwenye udongo wenye chumvi chumvi 4.5 to 5.6, pia udongo wenye uwezo wa kuhifadhi maji lakini kahawa husitawi vizuri sana kwenye udongo wenye asili ya volicano na udongo ambao haujawai kulimwa (virgin soil)

                    KUANDAA SHAMBA
Katika kuandaa shamba la kupanda kahawa miti mikubwa na  miamba mikubwa hung’orewa
Kwa maeneo ambayo yanaweza kutifuliwa mbolea kama phosphorus inatakiwa kuwekwa mara nyingi shamani kabla ya kuamishia mche shambani. Na maeno ambayo hapawezi kutifuliwa mashimo huweza kuwekwa na buldoza.
Mashimo ni lazima yawe makubwa na yenye kina kirefu  kuwezesha kuto vunja mizizi wakati wa kuhamishia mimea shambani.
Kahawa hupandwa kwa kutumia michea ambayo imekuzwa kwenye vifuko.
Nafasi ya kupada ni 3m x 3m kwa kiasi cha mimea 1280 plants/ha.
  Miti ya kivuli kama vile m leucaena inawezwa kupandwa kwa 6m x 6m.


MBOLEA

  unatakiwa kuzingatia kutumia udongo wenye rutuba ya kutosha.
  Unaweza pia kutumia mbolea ya asili.

                   KUVUNA
  Kahawa hua tayari kuvunwa miezi 8 hadi 9 kutoka kipindi ambacho maua ya mechomoza unatakiwa kuvuna matunda ambayo yamesha yamesha iva na kubadilika rangi kua nyekundu .
  Ukivuna matunda ambayo bado hayaja iva usababisha kahawa kua chungu sana
  Katika maeneo ya kitlopikia unaweza kuvuna mara moja kwa mwaka.

.
                    MAGONJWA  NA WADUDU
Kutu majani/Coffee Leaf Rust (Hemileia Vastatrix)
  Huu ni ugonjwa wa fangas ambayo hushambulia majani tu na . na unaweza kuzuia kwa kuwekea nyasi kuzunguka mmea wakati wa kupanda na kuweka mbolea na unatakiwa kupulizia dawa ya fungusi (fungiside).

2. Magonjwa ya tundaCoffee Berry Disease (CBD) (Colletotrichum Kahawae)
  Huu ugonjwa hushambulia matunda ya kahawa katika kipindi cha kutoka katika ua na kua kuiva, pia unaweza kuzuia kwa kutumia dawa za fangas.

3.Ubuli unga/Coffee wilt disease, also known as Tracheomycosis (Gibberella xylarioides)
  Hii ushambulia sehemu za chini za mmea na hushambulia zaidi mimea midogo, pia unaweza kuzuia kwa kutumia dawa za fangasi.

Pia unatakiwa
1.      Kuweka mazingira safi
2.      Mbolea ya kutosha
3.      Maji
Ili kuweza kuzuia magonjwa na wadudu waharibifu.


No comments