Maonesho ya wakulima- Meru 2018

Mpendwa mdau na mwanachama wa KilimoTanzania,

AgriProFocus Tanzania ikishirikiana na Jukwaa  la Wakulima Meru, Baraza la Kilimo Tanzania (ACT), TAHA, Monsanto Tanzania wanaofuraha kukukaribisha kwenye maonesho ya Wakulima Meru. Maonesho haya ni muhimu  kwa wadau wa kilimo kwani yamesheheni;
  • Mafunzo mbalimbali kuhusu kilimo endelevu
  • Fursa kukutana na kubadilishana mawazo na wadau mbalimbali kwenye sekta ya kilimo
  • Fursa za kupanua masoko ya wafanyabisahara kwenye sekta ya kilimo kwa  kutangaza bidhaa na huduma zao kwenye maonesho haya







BOFYA VIDEO CHINI KUJIFUNZA ZAIDI NA SUBSCRIBE CHANNEL YETU
 






No comments