Waziri mkuu na raisi kuvalia njuga swala la bei ya korosho

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amewafikishia salamu za Rais Magufuli na salamu zake mwenyewe wakulima wa korosho kutoka mikoa ya kusini ambao kwa wiki nzima wamekuwa wakigomea minada ya zao hilo kutokana na kutoridhishwa na bei.

BOFYA VIDEO CHINI KUTAZAMA NA USIPITE BILA KUSUBSCRIBE CHANNEL YETU

No comments