THREE SISTERS FARMING : AINA YA KILIMO KONGWE INAYOHUSISHWA NA MAMBO YA KITAMADUNI NA KIROHO


 

Ulisha wahi kusikia kuhusu kilimo kinachoitwa Three sisters?

Bila shaka kwa wengi itakua ni kitu kipya kabisa kusikia aina ya kilimo hiki.


Hii ni aina ya kilimo ya kihisitoria na ilianza miaka mingi sana marekani licha ya kua 

huku kwetu inaweza kua ni kitu kigeni au watu wanafanya bila kujua kama ndio three sisters 

farming.

hii ni aina ya kilimo cha watu waasili wa mexico lakini baadae kilisambaa na kuanza kutumika 

sana na wakazi wa amerika ya kaskazini. kilimo hiki kinafanya kwa kupanda mahindi, maharage na 

maboga katika sehemu moja ambapo mazao yote kwa pamoja hutegemeana na kumletea tija mkulima.


Unaweza kuwa unajiuliza kwanini wapande mazao yote katika sehemu moja.

na je ukipanda hivyo mazao yote yataweza kukua.


Kitu cha kwanza unachotakiwa kufamu nikwamba aina hii ya kilimo ufanyika kwa watu wenye eneo

dogo la kulima yaani bustani ndogo.

Mfumo wa vilima vya Dada Tatu "huboresha mazingira ya udongo na kemikali za kibayolojia, 

hupunguza mmomonyoko wa udongo, huboresha kilimo cha udongo, hudhibiti idadi ya mimea na nafasi,

 hutoa virutubisho vya mimea kwa kiasi kinachofaa, na kwa wakati unaohitajika, na kudhibiti magugu


Shina la mahindi hutumika kama trelli kwa ajili ya maharagwe kupanda, maharagwe huweka nitrojeni kwenye udongo,

 na mizabibu yao inayopindana hutuliza mahindi kwenye upepo mkali, na majani mapana ya mmea wa boga yanatia kivuli ardhi,

 kuweka udongo unyevu na kusaidia kuzuia. uanzishwaji wa magugu.[5][6] Nywele za aina fulani za boga pia huzuia wadudu,

 kama vile kulungu na raccoons

BOFYA VIDEO CHINI KUJIFUNZA ZAIDI



No comments