🥚 MTAANI KWAKO, TREY YA MAYAI BEI GANI?

0

Kila mtaa bei inatofautiana. Wengine wanapata tray ya mayai kwa TZS 9,000, wengine TZS 12,000, na maeneo mengine inafika hadi TZS 15,000. Lakini swali kubwa ni: kwanini tofauti hii kubwa ipo?

👉 Je, ni gharama za uzalishaji zinazopanda kwa wafugaji?
👉 Ni ukosefu wa chakula cha kuku kinachoongeza gharama?
👉 Au ni walanguzi wanaoamua bei sokoni?

Mayai ni chakula cha kila siku, na ni kipimo cha uchumi wa familia nyingi. 

💬 Wewe mtaa wako tray ni shilingi ngapi? Na unaonaje hizi tofauti za bei?




Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

write your comment here

write your comment here

Post a Comment (0)

buttons=(Accept !) days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top