🔍 FURSA KWA WAKULIMA TANZANIA – CRDB TACATDP

0

Je, unafahamu kuwa sasa wakulima wa Tanzania wanaweza kupata mikopo ya riba nafuu, bima ya kilimo, mafunzo ya kitaalamu pamoja na gurantee ya kifedha kupitia mpango maalum wa CRDB Bank – TACATDP (Tanzania Agricultural Credit and Trade Development Project)? 🌾

👉 Programu hii imelenga kumwezesha mkulima mdogo na wa kati kuongeza uzalishaji, kupata soko la uhakika, na kulima kibiashara bila hofu ya kukwama mitaji au kukosa uelewa.

Kwa mfano, kupitia TACATDP:

  • Mkulima anaweza kufadhili mbegu bora, mbolea na zana za kisasa.

  • Anaweza kulindwa dhidi ya hasara za majanga ya kilimo kupitia bima.

  • Kupitia mafunzo ya kitaalamu, anapata ujuzi wa kuongeza tija na kipato.

💡 Fursa kama hizi haziandikwi magazetini kila siku – ni muhimu mkulima akawa karibu na chanzo cha taarifa sahihi na za wakati.

📌 Ndiyo maana tumebuni group letu la Tanzania na Kilimo & Shamba Darasa, ambapo tunatoa taarifa, elimu na ushauri kuhusu kilimo na ufugaji, pamoja na fursa muhimu kama hizi.

👉 Kujiunga, bonyeza hapa:
🔗 NIUNGE WhatsApp


Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

write your comment here

write your comment here

Post a Comment (0)

buttons=(Accept !) days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !
To Top