Kwa sasa kumekua na muitikio mkubwa sana na binafsi kila siku tunapokea simu kutoka kwa watu binafsi, taasisi, makanisa, wastaafu na vijana wanaotaka kuanza — na hii si bahati nasibu, ni mwelekeo mpya wa kiuchumi unaojenga ajira na uhakika wa kipato.
💡 Kwa nini sekta hii inakua kwa kasi?
-
Bei ya maziwa imeongezeka kwa zaidi ya 25–40% ndani ya miaka 3.
-
Tanzania bado inazalisha chini ya 60% ya mahitaji ya maziwa yake — nafasi kubwa ipo wazi kwa wazalishaji wapya.
-
Mradi wa ng’ombe 5–10 unaweza kukupatia wastani wa Tsh 500,000–1,200,000 kwa mwezi kulingana na uzalishaji na usimamizi.
-
Taasisi nyingi (makanisa, mashirika, wastaafu) zinaanza kuona ufugaji huu kama chanzo cha mapato ya kudumu na si tu hobby.
🌱 Hii ni fursa ya kizazi chetu — tusikubali iwapite!
Ikiwa umewahi kufikiria kuanzisha mradi wa ng’ombe wa maziwa, sasa ndio wakati sahihi zaidi.
👨🏽🏫 Ili kupata elimu ya kina kuhusu:
✅ Aina bora za ng’ombe wa maziwa
✅ Ujenzi sahihi wa banda
✅ Lishe, afya na uzalishaji
✅ Hesabu za faida na gharama
✅ Masoko ya uhakika
Jiunge nasi kwenye Group la Mafunzo ya Rubaba Media (Rubaba TV) — ambapo unapata elimu, ushauri na ufuatiliaji wa kitaalamu kila wiki.
📌 Ada ya mwaka mzima: Tsh 30,000 tu
💳 Lipa kupitia:
-
Airtel Money: 0764 148 221 (Imani Lubaba Emmanuel)
-
Tigo Pesa Lipa Namba: 16418845 (RUBABA TV)
📲 Baada ya malipo, tuma ujumbe wa uthibitisho WhatsApp:
👉 0764 148 221
🗣️ Andika neno NIUNGE


write your comment here